Jinsi ya kujiandaa kwa ajili ya ibada kwa muda ambao umepangwa. Ili usichelewe Fanya mambo haya;
1 Ikiwa katika familia yako mnao utaratibu mliojiwekea wa kufanya ibada kila siku, kwa mfano saa mbili kamili ya usiku. Ina maana ya kwamba kila mtu anapaswa awe amemaliza shughuli zake kama kupika, kuoga, na kama mmojawapo alikuwa ametoka ni muhimu ahakikishe anarudi nyumbani mapema kabla ya muda wa ibada. Jambo kila mmoja katika familia yampasa injini muda wa ibada na kuzingatia. Kwa hiyo ni muhimu kumheshimu Mungu kwa kuzingatia muda, kama tunavyozingatia muda kwa mambo mengine.
Kwa mfano mtu amekata mapema kwa ajili ya kusafirishia siku anakuwa ameamka asubuhi na kuwahi basi kabla halijaondoka na kuachwa. Lakini mtu kwa ajili ya ibada anachelewa. Kwa hiyo mtu anakuwa amekosa wa kutumia vizuri muda wa ibada kwa ajili ya Mungu wake. Haipendezi mtu kuwa mwaminifu kwa kutumia muda vizuri kwa mambo mengine mbalimbali, lakini kwa mambo ya Mungu hazingatii muda. Kwa Kufanya hivyo ni kukosa na heshima kwa Mungu. 2. Maandalizi ya ibada kanisani. Fanya haya kabla ya kulala.
E. Lala mapema huku ukiwa umeweka nia moyoni mwako muda wa kuamka na itakuwa hivyo. Kwa mfano ukiweka nia ya kwamba utaamka saa kumi na nusu alfajiri. Muda ukifika umeamka.
1 Ikiwa katika familia yako mnao utaratibu mliojiwekea wa kufanya ibada kila siku, kwa mfano saa mbili kamili ya usiku. Ina maana ya kwamba kila mtu anapaswa awe amemaliza shughuli zake kama kupika, kuoga, na kama mmojawapo alikuwa ametoka ni muhimu ahakikishe anarudi nyumbani mapema kabla ya muda wa ibada. Jambo kila mmoja katika familia yampasa injini muda wa ibada na kuzingatia. Kwa hiyo ni muhimu kumheshimu Mungu kwa kuzingatia muda, kama tunavyozingatia muda kwa mambo mengine.
Kwa mfano mtu amekata mapema kwa ajili ya kusafirishia siku anakuwa ameamka asubuhi na kuwahi basi kabla halijaondoka na kuachwa. Lakini mtu kwa ajili ya ibada anachelewa. Kwa hiyo mtu anakuwa amekosa wa kutumia vizuri muda wa ibada kwa ajili ya Mungu wake. Haipendezi mtu kuwa mwaminifu kwa kutumia muda vizuri kwa mambo mengine mbalimbali, lakini kwa mambo ya Mungu hazingatii muda. Kwa Kufanya hivyo ni kukosa na heshima kwa Mungu. 2. Maandalizi ya ibada kanisani. Fanya haya kabla ya kulala.
A. Andaa nguo zako. B. Osha au kupiga rangi viatu vyako. C. Andaa sadaka au zaka. D. Andaa biblia yako na mfuko wako.
E. Lala mapema huku ukiwa umeweka nia moyoni mwako muda wa kuamka na itakuwa hivyo. Kwa mfano ukiweka nia ya kwamba utaamka saa kumi na nusu alfajiri. Muda ukifika umeamka.
F. Mwombe Mungu kwa ajili ya ibada ili akutane na watu wake na kuwasadia. Pia ibada itawaliwe na uwepo wa Mungu. Vilevile omba kwa ajili ya wale watakaokuwa na zamu ya kuongoza ibada ya siku hiyo. Wahi kwenda kanisan dakika 10-15, Kabla ya Muda wa ibada haujafika.
Asante Kwa mafundisho
JibuFuta