Watoto wa Mungu ambao wamezaliwa mara ya pili watakuwa wanakutana na mitihani ya majaribu. Kwa hiyo mkristo ambaye ataweza kushinda majaribu na kuingia mbinguni ni yule ambaye atazingatia mambo haya yafuatayo;
1. Kuutafuta uso wa Mungu kwa Bidii kila wakati kwa maombi na kufunga.
2. Kuutafuta uso wa Mungu kwa kujifunza neno lake kwa bidii na kulifahamu.
4. Kudumu kwa kuishi neno la Mungu linavyosema na katika utakatifu. "Ufunuo wa Yohana 3:4-5 Lakini unayo majina machache katika Sardi, watu wasioyatia mavazi yao uchafu. Nao watakwenda pamoja nami hali wamevaa mavazi meupe, kwa kuwa wamestahili. Yeye ashindaye atavikwa hivyo mavazi meupe, wala sitalifuta kamwe jina lake katika kitabu cha uzima, nami nitalikiri jina lake mbele za Baba yangu, na mbele ya malaika zake."
5. Kulisimamia neno la Mungu kwa usahihi. Wala usilionee aibu neno la Mungu mbele za watu na kushiriki kufanya mambo yao ambayo ni kinyume na neno la Mungu. Yakupasa kukataa kufanya mambo ambayo ni kinyume na neno la Mungu."1 Timotheo 5:22
"...wala usizishiriki dhambi za watu wengine. Ujilinde nafsi yako uwe safi. 2 Wakorintho 6:17-18
Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha. Nitakuwa Baba kwenu, Nanyi mtakuwa kwangu wanangu wa kiume na wa kike, asema Bwana Mwenyezi.
6.Kuyatafakari mambo ya Mungu katika maisha yetu. Hayo ndiyo aliyotuitia kwa ajili ya ufalme wake. Mtu anaweza kutafakari neno la Mungu na matendo mema ambayo Mungu amemtendea. Pia kutafakari Mamlaka na kuu wake usiopimika. "Wakolosai 3:1-2 Basi mkiwa mmefufuliwa pamoja na Kristo, yatafuteni yaliyo juu Kristo aliko, ameketi mkono wa kuume wa Mungu. Yafikirini yaliyo juu, siyo yaliyo katika nchi."
2. Kuutafuta uso wa Mungu kwa kujifunza neno lake kwa bidii na kulifahamu.
4. Kudumu kwa kuishi neno la Mungu linavyosema na katika utakatifu. "Ufunuo wa Yohana 3:4-5 Lakini unayo majina machache katika Sardi, watu wasioyatia mavazi yao uchafu. Nao watakwenda pamoja nami hali wamevaa mavazi meupe, kwa kuwa wamestahili. Yeye ashindaye atavikwa hivyo mavazi meupe, wala sitalifuta kamwe jina lake katika kitabu cha uzima, nami nitalikiri jina lake mbele za Baba yangu, na mbele ya malaika zake."
5. Kulisimamia neno la Mungu kwa usahihi. Wala usilionee aibu neno la Mungu mbele za watu na kushiriki kufanya mambo yao ambayo ni kinyume na neno la Mungu. Yakupasa kukataa kufanya mambo ambayo ni kinyume na neno la Mungu."1 Timotheo 5:22
"...wala usizishiriki dhambi za watu wengine. Ujilinde nafsi yako uwe safi. 2 Wakorintho 6:17-18
Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha. Nitakuwa Baba kwenu, Nanyi mtakuwa kwangu wanangu wa kiume na wa kike, asema Bwana Mwenyezi.
6.Kuyatafakari mambo ya Mungu katika maisha yetu. Hayo ndiyo aliyotuitia kwa ajili ya ufalme wake. Mtu anaweza kutafakari neno la Mungu na matendo mema ambayo Mungu amemtendea. Pia kutafakari Mamlaka na kuu wake usiopimika. "Wakolosai 3:1-2 Basi mkiwa mmefufuliwa pamoja na Kristo, yatafuteni yaliyo juu Kristo aliko, ameketi mkono wa kuume wa Mungu. Yafikirini yaliyo juu, siyo yaliyo katika nchi."
"Zaburi 119:97
Sheria yako naipenda mno ajabu, Ndiyo kutafakari kwangu mchana kutwa."
Sheria yako naipenda mno ajabu, Ndiyo kutafakari kwangu mchana kutwa."
"Zaburi 63:6 Ninapokukumbuka kitandani mwangu, Nakutafakari Wewe8 makesha yote ya usiku."
Mkristo ambaye anamtafakari
Mungu kinywa chake hakitapungua sifa na shukrani kwa Mungu. watu wote ambao wamemwishia Mungu hao ndiyo washindi watakaoingia mbinguni. Mbinguni ni mahali pazuri na patakatifu. Hayo ni makao ya kuishi watakatifu kwa amani na furaha milele. Dhiki na shida za dunia hii zitakuwa zimepita. "Ufunuo 21:1-5
Mkristo ambaye anamtafakari
Mungu kinywa chake hakitapungua sifa na shukrani kwa Mungu. watu wote ambao wamemwishia Mungu hao ndiyo washindi watakaoingia mbinguni. Mbinguni ni mahali pazuri na patakatifu. Hayo ni makao ya kuishi watakatifu kwa amani na furaha milele. Dhiki na shida za dunia hii zitakuwa zimepita. "Ufunuo 21:1-5
Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya; kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, wala hapana bahari tena. Nami nikauona mji ule mtakatifu, Yerusalemu mpya....Tazama, maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu, naye atafanya maskani yake pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao. Naye atafuta kila chozi katika nacho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita ....Tazama nayafanya yote kuwa mapya....".
Wewe ambaye utakuwa umelisoma somo hili ni muhimu ukafahumu Mungu amekupa nafasi ya kuishi hapa duniani mara moja tu. Hapa duniani siyo mahali ambapo mwanadamu ataishi milele. Sisi wote ni kama wasafiri lakini baadae hatupo katika ulimwengu huu wa sasa. 1 Petro 1:24
Maana, Mwili wote ni kama majani, Na fahari yake yote ni kama ua la majani. Majani hukauka na ua lake huanguka; Waebrania 9:27
Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu; Andiko hili limeonyesha wazi mtu akifa kwa wakati huo huo anakuwa amekwisha hukumiwa. Kwa sababu hiyo kwa mkristo aliyeokoka yampasa kudumu katika ushindi na kuutunza. Ufunuo wa Yohana 3:11 Naja upesi. Shika sana ulicho nacho, asije mtu akaitwaa taji yako. Mtu akifa katika dhambi hana nafasi nyingine ya kurudi duniani ili atubu. Ninamalizia kwa kusema mwanadamu amewekewa kuzaliwa mara moja, kuishi mara moja na kufa mara moja. Kwa hiyo nafasi hii uliyopewa ya kuishi ni muhimu kuitumia ukiwa tayari kwa ajili ya kuingia ufalme wa Mungu. Siku ile nitakapokuona mbinguni kwa Baba nitafurahi sana.
Wewe ambaye utakuwa umelisoma somo hili ni muhimu ukafahumu Mungu amekupa nafasi ya kuishi hapa duniani mara moja tu. Hapa duniani siyo mahali ambapo mwanadamu ataishi milele. Sisi wote ni kama wasafiri lakini baadae hatupo katika ulimwengu huu wa sasa. 1 Petro 1:24
Maana, Mwili wote ni kama majani, Na fahari yake yote ni kama ua la majani. Majani hukauka na ua lake huanguka; Waebrania 9:27
Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu; Andiko hili limeonyesha wazi mtu akifa kwa wakati huo huo anakuwa amekwisha hukumiwa. Kwa sababu hiyo kwa mkristo aliyeokoka yampasa kudumu katika ushindi na kuutunza. Ufunuo wa Yohana 3:11 Naja upesi. Shika sana ulicho nacho, asije mtu akaitwaa taji yako. Mtu akifa katika dhambi hana nafasi nyingine ya kurudi duniani ili atubu. Ninamalizia kwa kusema mwanadamu amewekewa kuzaliwa mara moja, kuishi mara moja na kufa mara moja. Kwa hiyo nafasi hii uliyopewa ya kuishi ni muhimu kuitumia ukiwa tayari kwa ajili ya kuingia ufalme wa Mungu. Siku ile nitakapokuona mbinguni kwa Baba nitafurahi sana.
Nina mtukuza Sana Mungu wa Mbinguni kwaajili ya kazi yenu nzur na iliyo tukuka.. Nikwel mnafanya kaz . Aliyo waagiza Bwana Yesu.. Kwamba Enenden ulimwenguni kote Mkahubir Injili. Kwa kila kiumbe na kila Aaminie na kubatizwa Huyo ataokoka... Ni maombi yangu kwa Mungu Awatunze mnoo . Na uweza wake ukawe juu yenu Ameen.🙏🙏🙏
JibuFuta